Home > Terms > Swahili (SW) > kutoka

kutoka

Mungu kuingilia kati kuokoa katika historia ambapo yeye aliwaweka huru Wahebrania kutoka utumwa katika Misri, akafanya agano nao, na kuwaingiza katika nchi ya ahadi. Kitabu cha Kutoka, cha pili katika Agano la Kale, kinasimulia historia hii ya kuokoa (62). Kutoka huadhimishwa na Wayahudi wakati wa Pasaka, ambayo kwa Wakristo ni kielelezo cha "Pasaka" kwake Yesu Kristo katika kifo na maisha na ni sherehe katika kumbukumbu la Ekaristi (1363).

0
  • Part of Speech: noun
  • Synonym(s):
  • Blossary:
  • Industry/Domain: Religion
  • Category: Catholic church
  • Company:
  • Product:
  • Acronym-Abbreviation:
Collect to Blossary

Member comments

You have to log in to post to discussions.

Terms in the News

Featured Terms

ongaka yusuf walela
  • 0

    Terms

  • 1

    Blossaries

  • 0

    Followers

Industry/Domain: Language Category: Grammar

lugha tenganishi

lugha tenganishi inaunda lugha za mofimu moja (yaani, kwa mzizi bila udogo) huwa zinatumia maneno fupi pale ambapo lugha nyingine inatumia neno moja ...