![](/template/termwiki/images/likesmall.jpg)
Home > Terms > Swahili (SW) > imani
imani
Ni kipawa cha Mungu na kitendi cha binadamu ambacho muumini hutoa uzingatiaji binafsi kwa Mungu ambaye anakaribisha majibu yake, na kwa uhuru anakubali ukweli wote ambao Mungu umebaini. Ni ufunuo huu wa Mungu ambao Kanisa inapendekeza kwa imani yetu, na ambao sisi hukiri katika Imani, husherehekea katika sakramenti, huishi kwa mwenendo ilio sawa unsotimiza amri mara mbili ya upendo (kama ilivyo katika amri kumi), na kujibu na katika maombi yetu ya imani. Imani ni mujibu wa kitheolojia uliotolewa na Mungu kama neema, na wajibu ambao unatokana na amri ya kwanza ya Mungu (26, 142, 150, 1814, 2087).
- Part of Speech: noun
- Synonym(s):
- Blossary:
- Industry/Domain: Religion
- Category: Catholic church
- Company:
- Product:
- Acronym-Abbreviation:
Other Languages:
Member comments
Terms in the News
Featured Terms
Bob Dylan (almasi, Watu, wanamuziki)
mwimbaji-mtunzi wa nyimbo na mashairi, pia inajulikana tangu miaka ya 1960 alipoanza kuonekana kama sanamu za machafuko ya kijamii na mabadiliko kwa ...
Contributor
Featured blossaries
Browers Terms By Category
- Biochemistry(4818)
- Genetic engineering(2618)
- Biomedical(4)
- Green biotechnology(4)
- Blue biotechnology(1)
Biotechnology(7445) Terms
- Osteopathy(423)
- Acupuncture(18)
- Alternative psychotherapy(17)
- Ayurveda(9)
- Homeopathy(7)
- Naturopathy(3)
Alternative therapy(489) Terms
- Cardboard boxes(1)
- Wrapping paper(1)
Paper packaging(2) Terms
- Alcohol & Hydroxybenzene & Ether(29)
- Pigments(13)
- Organic acids(4)
- Intermediates(1)
Organic chemicals(47) Terms
- Cheese(628)
- Butter(185)
- Ice cream(118)
- Yoghurt(45)
- Milk(26)
- Cream products(11)