Home > Terms > Swahili (SW) > imani

imani

Ni kipawa cha Mungu na kitendi cha binadamu ambacho muumini hutoa uzingatiaji binafsi kwa Mungu ambaye anakaribisha majibu yake, na kwa uhuru anakubali ukweli wote ambao Mungu umebaini. Ni ufunuo huu wa Mungu ambao Kanisa inapendekeza kwa imani yetu, na ambao sisi hukiri katika Imani, husherehekea katika sakramenti, huishi kwa mwenendo ilio sawa unsotimiza amri mara mbili ya upendo (kama ilivyo katika amri kumi), na kujibu na katika maombi yetu ya imani. Imani ni mujibu wa kitheolojia uliotolewa na Mungu kama neema, na wajibu ambao unatokana na amri ya kwanza ya Mungu (26, 142, 150, 1814, 2087).

0
  • Part of Speech: noun
  • Synonym(s):
  • Blossary:
  • Industry/Domain: Religion
  • Category: Catholic church
  • Company:
  • Product:
  • Acronym-Abbreviation:
Collect to Blossary

Member comments

You have to log in to post to discussions.

Terms in the News

Featured Terms

ogongo3
  • 0

    Terms

  • 0

    Blossaries

  • 3

    Followers

Industry/Domain: People Category: Musicians

Bob Dylan (almasi, Watu, wanamuziki)

mwimbaji-mtunzi wa nyimbo na mashairi, pia inajulikana tangu miaka ya 1960 alipoanza kuonekana kama sanamu za machafuko ya kijamii na mabadiliko kwa ...

Contributor

Featured blossaries

Potatoe

Category: Food   1 9 Terms

Tasting Brazil

Category: Food   1 1 Terms